Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
Makala haya yanaangazia maendeleo ya michezo mbalimbali Ulimwenguni na pia huwa haiwaweki kando wanamichezo waliobobea na vilevile kufanya uchanganuzi wa kina wa michezo wakati wa mashindano mbalimbali.
Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .
Makala yanayochambua masuala na matukio mbalimbali yaliyotokea kwenye jamii kwa wiki nzima kwa kina, yanatoa fursa kwa msikilizaji kueleza hisia na mtazamo wake juu ya masuala yanayoendelea kutokea iwe ni katika uga wa uchumi na siasa duniani kote.
Ni Makala yanayoangazia kwa jicho la tatu mazingira halisi ya dunia yalivyo bila kusahau kile ambacho kinachangia kuyaharibu. Utapata kufahamu namna ambavyo mazingira na rasilimali zinavyoharibiwa huku pia teknolojia ikijumuishwa. Hakika mazingira mazuri ya leo ni dunia yako kesho.
Makala inayojadili kwa kina masuala ya afya, tiba na kutambua magonjwa mbalimbali bila ya kusahau namna ya kukabiliana nayo. Watalaam walibobea kwenye sekta ya afya watakujuvya na kukuelimisha juu ya umuhimu wa kuwa na afya bora na si bora afya. Pia utawasikiliza kwa maneno yao watu ambao wameathirika na magonjwa mbalimbali na walikumbwa na nini hadi kufika hapo walipo.
Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa
Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.
Makala ambayo inakupa nafasi ya kujua masuala mbalimbali ya Muziki na Burudani. Ndani ya makala haya utapata taarifa za wanamuziki, historia zao na bila kusahau mahojiano na wanamuziki mbalimbali. Hii ni fursa ya pekee kwa wasikilizaji kujiliwaza baada ya kazi za juma zima kupitia burudani ya muziki. Makala ya muziki ijumaa pia itakuwezesha kufahamu wasanii kutoka sehemu mbalimbali duniani na kujua wanafanya nini.
Changu Chako, Chako Changu ni makala inayozungumzia masuala ya historia, utamaduni, muziki na lugha ya Kifaransa Afrika Mashariki na Kati na duniani. Makala haya yatakuhabarisha pia kuhusu Jumuiya ya Kimataifa ya Watu Wanaotumia lugha ya Kifaransa kwenye Mawasiliano (L'OIF) na jinsi gani kujifunza na kuelewa lugha nyingine inaweza kuimarisha mahusiano kwenye sehemu zote za maisha ya binadamu.
Nyumba ya Sanaa ni Makala ya Utamaduni ambayo inatoa fursa kwa wasanii na wadau wa sanaa kuwasilisha maoni yao kwa ajili ya maendeleo ya kweli ya Afrika na dunia kwa ujumla, tukiwa na lengo la kudumisha na kuendeleza tamaduni nzuri katika mwingiliano wa tamaduni uliopo, tukizingatia maisha ya kisasa na utandawazi kwa ujumla.
Huu ni wasaa wa kukutana na wageni mbalimbali watakaokuwa wakifika katika studio zetu na kuzungumza moja kwa moja yaani LIVE. Ni mjadala wa kila Jumatano asubuhi ambao utagusa masuala muhimu yanayoibuka ndani na nje ya Bara la Afrika katika nyanja tofaut itofauti. Mjadala wa wiki ni wasaa utakaokuzungusha dunia nzima kupitia mawimbi ya RFI Kiswahili.
Talisman Brisé ni tamthilia ya redio inayosimulia hadithi ya mtunza bustani Kwame ambaye bosi wake Profesa Omar anatekwa nyara na watu wasiojulikana. Kwa nini Profesa Omar anatekwa nyara na watu hao? Mfanyakazi wake Kwame atafanikiwa kumuokoa Bosi wake? Fuatilia haya kwenye tamthilia ya Talisman Brise hapa rfi kila siku ya jumapili ndani ya Makala ya Changu Chako Chako Changu.
H
Habari RFI-Ki


1
Maoni ya waskilizaji wa RFI Kiswahili kuhusu kuachiwa huru kwa mateka Olivier Dubois
10:03
10:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:03
By RFI Kiswahili
C
Changu Chako, Chako Changu


1
Muandishi wa vitabu Abdourahman Waberi atembelea studio za rfi kiswahili Nairobi
19:49
19:49
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
19:49
Ni Jumapili nyingine tunakutana tena katika Makala haya ya Changu Chako Chako Changu, ambapo leo ni spisho kabisa tunazungumzia juu ya maandalizi ya wiki ya Francophonie tumemualika studio muandishi wa vitabu Abdurahamani Waberi raia wa Ufaransa mwenye asili ya Djibouti kuzungumzia hasa kitabu chake Les Etats Unies d’Afrique, na kwenye kipengele ch…
Kila ijumaa unapata nafasi ya kuomba na kuskiza muziki unaopenda ndani ya rfi Kiswahili, kupitia makala ya Muziki Ijumaa. Juma hili Benson Wakoli amekuandalia vibao mbalimbali kutoka Africa Mashariki, vibao vya kale na sasa, ili kupanda uhonda kamili skiza makala hayaBy RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
J
Jukwaa la Michezo


1
Mataifa ya Afrika yaendelea kusaka nafasi ya kushiriki AFCON 2024
23:53
23:53
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:53
Jumamosi hii, miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na mwanamasombwi kutoka Tanzania, Karim Mandonga kupambana na mpinzani wake kutoka nchini Uganda jijini Nairobi, matokeo, matukio na uchambuzi wa mashindano ya kufuzu Kombe la mataifa ya Afrika mwaka huu na Kombe la EURO mwaka ujao huko barani Ulaya.…
By RFI Kiswahili
C
Changu Chako, Chako Changu


1
Mwezi wa la francophonie sehemu ya pili Louise Mushikiwabo akabidhi tuzo
20:04
20:04
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:04
Karibu kuungana nami jumapili hii katika Makala haya Changu Chako Chako Changu ambapo leo nakuletea sehemu ya pili ya makala kuhusu mwezi wa Francophonie na kwenye le parler francophone nakuletea shughuli za kitamaduni zilizojiri kwenye vituo vya Alliance Francaise ya Mombasa, Nairobi na Dar es salaam na kwenye Muziki nakuletea mwanamuziki kutoka n…
By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
M
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii


1
Rais Tshisekedi awateua Bemba na Kamerhe kuwa Mawaziri
20:12
20:12
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:12
Miongoni mwa yale utakayosikia, ni hatua ya rais wa DRC Felix Tshisekedi kumteua Jean Pierre Bemba kuwa Waziri mpya wa Ulinzi na Vital Kamerhe kuwa Waziri wa Uchumi, maandamano ya upinzani nchini Kenya na makabiliano ya waandamanaji na polisi nchini Ufaransa kupinga mageuzi ya mfumo wa pensheni.By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
H
Habari RFI-Ki


1
Hatuwa ya viongozi wa Afrika kubadili katiba ili kusalia madarakani
10:02
10:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:02
Rais wa Senegal Macky Sall, amesema haitokuwa kinyume cha katiba kwake kuwania muhula wa tatu wenye utata katika uchaguzi wa mwakani. Hali ambayo imeibua hisia kwa nini viongozi wengi wa Afrika wamekuwa wakifanya marekebisho ya katiba ilikusalia madarakani?Unazungumziaje kuhusu hili?Unafkiri Viongozi wa Afrika wanahitaji muda zaidi wa kuwa madaraka…
Wataalamu wa uchumi na diplomasia wanasema, katika muda mchache aliokuwa madarakani, ameonesha dhamira ya kutekeleza mageuzi makubwa ya kiuchumi nchini Tanzania, mbali na uchumi, ameshughulikia masuala ya kisiasa na kusaka maridhiano ya kitaifa, wiki hii katika makala ya Gurudumu la Uchumi, tunaangazia miaka miwili madarakani ya rais wa Tanzania Sa…
G
Gurudumu la Uchumi


1
Siku ya wanawake duniani na ushiriki katika ngazi za maamuzi
10:02
10:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:02
Msikilizaji hebu fikiria kuwa na dunia yenye usawa. Dunia huru ya bila upendeleo na ubaguzi. Dunia jumuishi, yenye kutoa haki na shirikishi. Dunia ambayo licha ya tofauti zetu lakini bado tunaheshimiana na kufurahia. Na leo hii wataalamu wanatuambia tunaweza kusimama pamoja kuhamasisha usawa wa kijinsia kwa wote bila ubaguzi wa wanawake.…
Karibu kuungana na mtangazaji wetu mwandamizi Reuben Lukumbuka anakuletea makala sahihi unayoipenda ya muziki ijumaa hii ya marchi 24 2023By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
By RFI Kiswahili
C
Changu Chako, Chako Changu


1
Makala haya yanazungumzia mwezi wa francophonie, kuelekea siku ya kimataifa ya OIF
19:57
19:57
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
19:57
Karibu kuwa nami kwa mara nyingine tena katika Makala Changu Chako Chako Changu ambapo leo tunazungumzia kuhusu mwezi wa la francophonie, na kwenye le parler francophone tutazungumzia tamasha lililoandaliwa na Alliance francaise ya Nairobi ya wasanii kutoka katika maeneo mbalimbali duniani waliojumuika katika kundi la Chansons sans frontieres.…
H
Habari RFI-Ki


1
Maoni ya waskilizajhi kuhusu kukithiri kwa maandamano duniani
9:58
9:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:58
Nikukaribishe mpenzi msikilizaji katika Makal aya leo Habari Rafiki tunazungumzia kuhusu Kuongezeka kwa maandamano yanayoshuhudiwa duniani zikiwemo Kenya, Afrika Kusini, Tunisia na Ufaransa kuzua taharuki kwa kero mbalimbali ikiwemo gharama kubwa ya maisha.Unadhani maandamano ndio njia ya kuifanya serikali kuchukua hatua?…
J
Jua Haki Zako


1
Matumizi ya sanaa kupigania haki za binadamu Africa
9:41
9:41
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:41
Sanaa ni moja wapo ya nguzo muhimu katika kupigania haki za binadamu, katika makala haya mwanahabari wetu Benson Wakoli kwa undani anajadili na wanaharakati waagizaji Irene Kamau kutoka kituo cha haki cha Dandora, nchini Kenya pamoja na Domic Mutemi kutoka kituo cha haki cha Githurai. Bi Irene na bwana Mutemi anasema kutokana na sanaa wamafikia men…
S
Siha Njema


1
Mapambano ya kumaliza kifua kifuu nchini Kenya kuelekea mwaka 2035
10:12
10:12
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:12
Kwa mujibu wa mpango kazi wa shirika la afya duniani,WHO,mataifa yanastahili kupunguza vifo vinavyosababishwa na TB kwa asilimia 90 na maambukizo mapya kwa asilimia 80. Kila mwake tarehe 24 mwezi Machi ,dunia huungana kuadhimisha siku ya TB , kaulimbiu ya siku ya kifua kikuu duniani mwaka huu. ikiwa Ndiyo tunaweza kuwekeza zaidi kumaliza Kifua Kiku…
H
Habari RFI-Ki


1
Maoni ya waskilizaji kuhusu miaka miwili ya uongozi wa rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Ni miaka miwili sasa tangu rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, achuukue uongozi wa taifa hilo. Katika kipindi cha miaka hiyo tayari amefanya mageuzi makubwa ya kisiasa na kiuchumi kiasi cha kuvutia viongozi wa Afrika.Unazungumziaje miaka miwili ya rais Samia madarakani?Unaamini ameleta mabadiliko yaliotarajiwa na raia?Ni kipi unaweza kusifia kati…
J
Jukwaa la Michezo


1
Gianni Infantino achaguliwa tena kuwa rais wa FIFA
23:38
23:38
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:38
Miongoni mwa tuliyokuandalia ni pamoja na kongamano la Shirikisho la soka duniani FIFA lililofanyika jijini Kigali nchini Rwanda, timu za taifa za Afrika Mashariki zajiandaa kwenye mechi za kimataifa na uchambuzi wa mashindano ya ligi ya mabingwa Afrika na droo ya UEFA.By RFI Kiswahili
M
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii


1
Bunge la Angola laidhinisha kupelekwa kwa wanajeshi DRC, maandamano nchini Kenya
20:14
20:14
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:14
Miakala hii imeangazia hatua ya bunge la Angola kuidhinisha kutumwa kwa wanajeshi 500 wa nchi hiyo mashariki mwa DRC, hali ya wasiwasi nchini Kenya, kufuatia wito wamaandamano kupinga ugumu wa maisha kama ulivyoitishwa na kinara wa upinzani wa Azimio Raila Odinga, watu zaidi ya 300 wauawa na kuwaacha maelfu bila makaazi katika kimbunga Freddy kule …
H
Habari RFI-Ki


1
Wasikilizaji wa RFI Kiswahili watoa mada kwa uhuru
10:09
10:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:09
Kama ilivyo ada kila siku ya ijumaa makala ya Habari rafiki ni mada huru, tunatoa nafasi kwa wasikilizaji kuchangia swala walitakalo ambapo pia wanaweza kuzungumzia taarifa ambazo tumekuwa nazo katika matangazo yetu ya wiki hii..Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka, moja kwa moja kutoka studioni kukuletea maoni ya wasikilizaji waliyotuma kwa nj…
Karibu kwenye Makala ya Muziki Ijuma. Unaweza kusikiza ombi lako na muziki hapa.By RFI Kiswahili
H
Habari RFI-Ki


1
Kinara wa upinzani nchini Kenya Odinga aitisha maandamano jumatatu marchi 20
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Nchini Kenya kinara wa upinzani Raila Odinga, ameitisha maandamano kuishinikiza serikali ya rais William Ruto kulishughulikia swala la mfumuko wa bei linaonekana kuwa mzigo kwa raia wa Kenya. Unadhani hatua hii ya upinzani itasaidia kulishugulikia swala la mfumuko wa bei? Hapo kwenu serikali inafanya nini kutatua swala la mfumuko wa bei? Nchini Ken…
W
Wimbi la Siasa


1
Nafasi ya wanawake kwenye siasa za bara Afrika
9:55
9:55
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:55
Leo tunatupia jicho nafasi ya wanawake kwenye siasa za bara Afrika. Wiki hii siku ya Jumapili tarehe 19 rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, anatimiza miaka mitatu madarakani, baada ya kuapishwa kuongoza nchi hiyo kama rais wa sita, na kuwa rais wa kwanza mwanamke. Samia alichukua hatamu za uongozi baada ya kifo cha mtangulizi wake John Magufuli. …
Ndoto za wavumbuzi waki sayansi kutoka nchini Tanzania kama walivyo wengine kutoka nchini za ukanda wa Afrika mashari kwa ujumla ni kuhakikisha kuwa wanazalisha au kuvumbua vifaa ambavyo vinautambulisho wa mataifa yao karibu katika makala ya Afrika mashariki hii leo tupata simulizi ya vijana walio acha kazi na kuaumua kujiajili wenyewe katika uvumb…
H
Habari RFI-Ki


1
Rais wa Namibia amteua mwanamke kugombea mwakani
10:02
10:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:02
Jumamosi iliyopita Rais wa Namibia Hage Geingob, alimtaja Netumbo Nandi-Ndaitwah kuwa mgombea wa chama tawala SWAPO katika uchaguzi mkuu wa mwakani. Ikiwa ataungwa mkono na kuchaguliwa atakuwa mwanamke wa tatu kuongoza nchi baada ya rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf na Tanzania Samia Suluhu Hassan. Nini maoni yako kwa hatua hii? Unafikiri muda …
M
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho


1
Nchini DRC, kundi la MDP laanzisha kampeni ya kukusanya mifuko ya plastiki kutunza mazingira
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59
The Mutual for Project Development( MDP), ni kikundi kinachohamasisha jamiinamna bora ya kuhifadhi mifuko ya plastiki ili kulinda mazingira.By RFI Kiswahili
S
Siha Njema


1
Kongamano la afya kujadili uthabiti wa mifumo ya afya na athari za mabadiliko ya tabia nchi Afrika
10:14
10:14
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:14
Kuna haja ya Afrika kuwa na mifumo thabit ya afya ,kuweka rasli mali zake pamoja na kuwa ajenda moja kuhusu afya ,wakati huu athari hasi ya mabadiliko ya tabia nchi zinapoendelea kukabili ulimwengu Viongozi wa mataifa ya Afrika pamoja na wadau kwenye sekta ya afya wamejadiliana jijini Kigali kwenye kongamano la AHAIC, kuhusu kutembea pamoja kuwa na…
N
Nyumba ya Sanaa


1
SANAA NA ELIZABERT PASTORY KUHUSU USHAIRI
20:01
20:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:01
Kwenye makala ya wiki hii Steven Mumbi amezungumza naye Elizabert Pastory kuhusu Ushairi.By RFI Kiswahili