show episodes
 
Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa
 
Maelezo - Neno ni sehemu ya huduma ya kimataifa ya mafundisho ya biblia nzima ya Thru The Bible. Mfululizo wa mafundisho haya kwanza yaliandaliwa na Dkt. J. Vernon McGee na kutafsiriwa kwa lugha zaidi ya mia moja na kabila. mafundisho hayo yakusudiwa kuwa ya dakika 30 kwenye radio ambayo kwa mpangilio maalum humwezesha msikilizaji kujifunza Biblia nzima. Sasa ujumbe ndizo twakusilishia kwenye mtandao. Twashukuru kwamba umeanza kujifunza mengi zaidi katika Neno la Mungu kwa njia ya ujumbe hiz ...
 
Stori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi! Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza kipindi cha Naweza | Radio Free Afrika kila Jumamosi saa 11 jioni | Radio TBC Taifa kila Jumapili saa 11:30 jioni | Radio One kila Jumamosi saa 2:15 usiku Kipindi cha Naweza Show kinaletwa kwenu na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma (HPS)
 
Tutakuangazia Duniani kote, tukikupa habari, maoni, na mitazamo mbalimbali ju ya maswala ya maisha yetu ya kila siku kama Familia, Mahusiano, Elimu, Teknolojia,Michezo, sanaa, ubunifu, mavazi na mitindo Mafanikio, lengo letu ni kuelimisha, kuburudisha na kufundisha.
 
Hiki ni kipindi cha kila Mkristo anaye tarajia kwenda mbinguni, kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Fuata Bibblia Ikuongoze, Ina usika na MAULIZO, MAONYO na MAFUNDISHO ya Neno La Mungu. Soma: 2 Timotheo 3:16-17. Soma tena: Yohane 8:32 Lengo la Kipindi hiki ni, kuwaelimisha watu wa Mungu, katika Neno la Mungu. Kwakuwa Biblia ina sema katika: Methali 12:1. Kila apendaye mafundisho hupenda maarifa; Bali yeye achukiaye kulaumiwa ni kama mnyama. Kwahio kila Mkristo ana karibishwa katika kipindi hiki, cha ...
 
A
Afisa Afya

1
Afisa Afya

S. Karata & Y. Uzuwila

Unsubscribe
Unsubscribe
Monthly
 
AfisaAfya ni podcast pekee ya lugha ya Kiswahili itakayokuwa inawaletea mada, mijadala na mahojiano kuhusu afya ya mwanadamu na jinsi ambavyo afya zetu zinaweza kuathiriwa na mazingira tunamoishi, kila siku ya jumapili.
 
L
Lishe Points

1
Lishe Points

Ms. Khadija Kalipeni (Health Nutritionist) & Other Health Specialists

Unsubscribe
Unsubscribe
Monthly
 
Lishe points ni kipindi cha elimu lishe,kwa lugha ya kiswahili. Kipindi kinachotumiwa na wataalamu bobezi wa afya na lishe kueleza namna ya kuboresha kinga mwili, Tiba kupitia lishe na namna ya kuboresha matumizi mazuri ya makundi ya chakula kuboresha afya. Karibu ujifunze kila Jumatatu na Alhamisi
 
Yapo maarifa katika Biblia, kila mwanadamu anayahitaji ili apate kuishi kwa furaha maishani mwake. Ukiwa na Kelvin Nchimbi, Tanzania, utaweza kuchambu na kujifunza maarifa hayo kutoka katika neno la Mungu, Biblia. Kwa kuwa hakuna namna nyingine mwanadamu duniani atayaishi maisha yake kwa Upendo, Furaha na Amani kama ataamua kugeuzia kisogo mafundisho ya Biblia. Barikiwa!
 
Wanawake wengi wanajikuta wana uzito fulani kuhusu mambo ya ndani(intimacy)Afya ya akili(Mental health ) ni muhimu na ni mazungumzo ambao yanabidi yazungumzwe kwa uwazi ili wanawake wasijisikie wako peke yao kwenye mambo mengi kwa hofu ya kudhalilishwa au kitiwa /kujihisi aibu kuwa wanapitia mengi yalokuwa yanawabomowa kisaikolojia.Jumuika nami tukuwa na wazungumzaji tofauti kila wiki tujijenge kiafya.
 
Nikiwa Kama mwanahabari chipukizi naamini kuwa siku moja nitatimiza ndoto zangu lakini marafiki ndugu na jamaa wote na Kila mtu ndio nguzo yangu katika hii fani . Mimi sio mkamilifu endapo Kuna mahali nimekosea kwa kile ambacho nafanya Basi nitashukuru nikipata mtu na kuniongoza . Katika podcast hii hutuma habri na maelezo mbali mbali ya kijamii .
 
Selections of Independent music from eras past and present. Music new and old, of angst, love, lament and celebration. Jane Birkin, Leonard Cohen, Ian Curtis, Conor Oberst & Serge Gainsbourg all included in the mosaic of art in music that is some archaic mystery cult ritual. What stirs in the psyche of one lost child in the Universe, what draws the eye and makes the aperture of the soul grow, what clues that path, that line, that way to the feeling of the transcendental. &c
 
Huu ni wasaa wa kukutana na wageni mbalimbali watakaokuwa wakifika katika studio zetu na kuzungumza moja kwa moja yaani LIVE. Ni mjadala wa kila Jumatano asubuhi ambao utagusa masuala muhimu yanayoibuka ndani na nje ya Bara la Afrika katika nyanja tofaut itofauti. Mjadala wa wiki ni wasaa utakaokuzungusha dunia nzima kupitia mawimbi ya RFI Kiswahili.
 
Talisman Brisé ni tamthilia ya redio inayosimulia hadithi ya mtunza bustani Kwame ambaye bosi wake Profesa Omar anatekwa nyara na watu wasiojulikana. Kwa nini Profesa Omar anatekwa nyara na watu hao? Mfanyakazi wake Kwame atafanikiwa kumuokoa Bosi wake? Fuatilia haya kwenye tamthilia ya Talisman Brise hapa rfi kila siku ya jumapili ndani ya Makala ya Changu Chako Chako Changu.
 
أخبار عُمان باللغة السواحيلية هي نشرة إخبارية يومية تغطي آخر الأخبار من عمان و شرق إفريقيا. Khabari za Oman. taarifa ya khabari ya kila siku kwa Kiswahili kutoka Oman na Afrika Mashariki. Khabari za Oman covers the latest news, from Oman and East Africa.
 
Loading …
show series
 
Mkutano wa maji wa Umoja wa Mataifa unaanza leo Machi 22 hapa makao makuu ukibeba maudhui hatua za ajenda ya kuhakikisha upatikanaji wa maji kwa wote, kwani hatua hizo za maji zinaongeza uhakika wa chakula, usawa miongoni mwa jinsia, zinahakikisha watoto wanasalia shuleni, zinafanya jamii kuishi kwa amani na kuchangia mazingira yenye afya. Umoja wa…
 
KILAS RADIO PEIANGAN, EDISI 985 – SELASA 21 MARET 20231.SUDAH ISLAH, OKNUM GURU MENGANIAYA SISWA SMK PADAHERANG PANGANDARAN MINGGU LALU (PND-AST) HL2.JELANG RAMADAN, RIBUAN SANTRI DI CIAMIS GELAR MUNGGAHAN 1001 KASTROL (CMS-AST) 3.RIBUAN WARGA BANJAR PAWAI TARHIB SAMBUT RAMADHAN (BJR-LER)4.ANGGOTA PRSSNI PRIANGAN MUNGGAHAN, BAHAS ISU MUNAS MENDATAN…
 
Jaridani leo tunakuletea mada kwa kina ambapo Mkutano wa 67 wa kamisheni ya hali ya wanawake duniani, CSW67 umekunja jamvi baada ya kufanyika kwa takribani wiki mbili! Maudhui yalikuwa ni vipi teknolojia na uvumbuzi vinaweza kumkwamua mwanamke na msichana katika zama za kidijitalitunaangazia, na Getrude Dyabene, Afisa kutoka Kituo cha Msaada wa She…
 
Nikukaribishe mpenzi msikilizaji katika Makal aya leo Habari Rafiki tunazungumzia kuhusu Kuongezeka kwa maandamano yanayoshuhudiwa duniani zikiwemo Kenya, Afrika Kusini, Tunisia na Ufaransa kuzua taharuki kwa kero mbalimbali ikiwemo gharama kubwa ya maisha.Unadhani maandamano ndio njia ya kuifanya serikali kuchukua hatua?…
 
Mashambulizi dhidi ya raia huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC yanaripotiwa kila uchao ambapo Umoja wa Mataifa kupitia ujumbe wake wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO unaendelea kujiimarisha ili kuimarisha pia usalama wa raia ambalo ndilo jukumu lake. Harakati za kulinda raia na kukabiliana na waasi zinaendeshwa na walinda am…
 
Jaridani leo tunaangazia mkutano wa maji hapa makao makuu na kusalia kwenye siku ya maji tukimulika upatikanaji wa maji nchini DRC. Makala na mashinani tutasalia huko huko DRC, kulikoni? Ikiwa leo ni siku ya maji duniani Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kuchukuliwa hatua madhubuti sasa iki kuhakikisa rasilimali hiyo adhimu inalindwa, kudhibitiwa ipa…
 
Mkutano wa maji wa Umoja wa Mataifa unaanza leo ukibeba maudhui “kushikamana kwa ajili yam aji kwa wote” Ikiwa pia ni siku ya maji duniani na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuchukuliwa hatua madhubuti sasa ili kuhakikisa rasilimali hiyo adhimu inalindwa, kudhibitiwa ipasavyo na kupatikana kwa kila mtu. Katika ujumbe wake wa siku hii…
 
Hii leo ni siku ya maji duniani na ninakupeleka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambako huko mtoto Liesse mwenye umri wa miaka 17 amefuatilia upatikanaji wa maji safi ya kunywa kwenye eneo la Goma jimboni Kivu Kaskaizini baada ya kupatiwa mafunzo ya uandishi wa habari na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto duniani, UNICEF na…
 
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina nitasalia hapa hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa katika maandalizi ya mkutano wa maji wa mwaka 2023, unaoanza kesho kumsikia Fr. Benedict Ayodi kutoka shirika la kiamatifa la Wakapuchini wa Fraciscan ambao watakuwa na mjadala maalum kuhusu haki ya maji kwa wote katika mkutano huo. Pia tunakuletea habari…
 
Ni miaka miwili sasa tangu rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, achuukue uongozi wa taifa hilo. Katika kipindi cha miaka hiyo tayari amefanya mageuzi makubwa ya kisiasa na kiuchumi kiasi cha kuvutia viongozi wa Afrika.Unazungumziaje miaka miwili ya rais Samia madarakani?Unaamini ameleta mabadiliko yaliotarajiwa na raia?Ni kipi unaweza kusifia kati…
 
Tangu shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni lilipoitangaza lugha ya Kiswahili kuwa miongoni mwa lugha za kimataifa, taasisi mbalimbali zimeendelea kuhamasisha makundi mbalimbali kuitumia lugha hiyo katika masuala mbalimbali ya kijamii kama vile elimu kuhusu mabadiliko ya tabianchi, uchumi, ukatili wa kijinsia na kadhalika. Mion…
 
Hii leo katika jarida tunamulika upatikanaji wa huduma za maji na za usafi, siku ya furaha, kongamano la kiswahili Zanzibar, Tanzania na changamoto za maji yatokanyo ziwa Kivu mwenyeji wako ni Assumpta Massoi. Wakati viongozi wa dunia wakijiandaa kuhudhuria mkutano wa kihistoria wa maji wa Umoja wa Mataifa, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia …
 
Wakati viongozi wa dunia wakijiandaa kuhudhuria mkutano wa kihistoria wa maji wa Umoja wa Mataifa, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF llimetoa wito wa uwekezaji wa haraka katika huduma za maji, usafi na usafi wa mazingira (WASH) zilizo na mnepo ili kuwalinda watoto. kulingana na tathimini mpya ya UNICEF “Watoto milioni 190 katik…
 
Leo ni siku ya furaha duniani ambapo Umoja wa Mataifa unasema ni siku ya kutabua umuhimu wa furaha kwa watu wote ulimwenguni kwani ni msingi wa lengo la ubinadamu na pia huchagiza ukuaji wa kiuchumi. Mwandishi wetu wa Beni jimboni Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC. Wa kwanza kuzungumza mjini Beni ambako vikundi vya waasi v…
 
KILAS RADIO PRIANGAN, EDISI 984 – SENIN 20 MARET 20231.SEBANYAK 6 LAPAK HPKP CIKURUBUK TASIKMALAYA TERBAKAR (KOTSM-AST) HL2.PASTIKAN BAHAN POKOK JELANG RAMADHAN AMAN, PEMKOT TASIKMALAYA TERUS LAKUKAN KOORDINASI (KOTSM-AST)3.SAMBUT PUASA RAMADHAN, WARGA LINTAS AGAMA KAMPUNG KERUKUNAN CIAMIS, GELAR BERBAGAI KEGIATAN PERERAT PERSATUAN (CMS-AST) HL4.HA…
 
Kama ilivyo ada kila siku ya ijumaa makala ya Habari rafiki ni mada huru, tunatoa nafasi kwa wasikilizaji kuchangia swala walitakalo ambapo pia wanaweza kuzungumzia taarifa ambazo tumekuwa nazo katika matangazo yetu ya wiki hii..Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka, moja kwa moja kutoka studioni kukuletea maoni ya wasikilizaji waliyotuma kwa nj…
 
Kikao cha 67 cha kamisheni ya hali ya wanawake duniani CSW67 kielekea tamati, mwaka huu 2023 kikiwa kimebeba mada uvumbuzi, mabadiliko ya kiteknolojia, na elimu katika zama hizi za kidigitali kwa ajili ya kufikia usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake na wasichana wote. Mijadala mingi katika mkutano huu imelenga kuwawezesha na kuhakikisha wato…
 
Watoto milioni 10 nchini Burkina Faso, Mali na Niger wana uhitaji mkubwa wa misaada ya kibinadamu, idadi ambayo ni maradufu ikilinganishwa na mwaka 2020, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto duniani, UNICEF hii leo, chanzo kikiwa ni mizozo inayoshamiri kila uchao na kwamba Watoto wengine million 4 nchi Jirani wako hatarini Zaidi…
 
Mamlaka ya afya nchini Burundi leo imetangaza mlipuko na kusambaa kwa virusi vya polio type 2 baada ya wagonjwa wanane kuthibitishwa , ikiwa ni mara ya kwanza kuthibitishwa kwa virusi hivyo baada ya zaidi ya miongo 3 kwa mujibu wa shirika la afya la Umoja wa Mataifa duniani WHO. Taarifa ya WHO iliyotolewa mjini Bunjumbura na Brazzaville imesema vir…
 
Hii leo jaridani tunakuletea habari za WHO nchini Burundi na UNICEF eneo la Sahel. Makala tutamsikia mwanafunzi kutoka Tanzania ambaye ni mshiriki wa mkutano wa 67 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani, CSW67 na mashinani tutasalia hapa makao makuu kusikia ujumbe kuhusu haki ya maji. Mamlaka ya afya nchini Burundi leo imetangaza mlipuko na kusam…
 
1. POLRES GARUT TANGKAP PREMAN PENGANIAYA ANGGOTA TNI AD 2. TERSANDUNG SHABU SHABU, KEPALA BAPPEDA KOTA TASIKMALAYA DITANGKAP POLISI 3. PEREDARAN ROKOK ILEGAL DI KOTA BANJAR PALING RENDAH SE-PRIANGAN TIMUR, BEA CUKAI & SATPOL PP GETOL SOSIALISASI EDUKASI MASYARAKAT 4. BANYAK HOTEL DI KOTA TASIKMALAYA TAK MILIKI ALAT PROTEKSI KEBAKARAN YANG LAYAK 5.…
 
Nchini Kenya kinara wa upinzani Raila Odinga, ameitisha maandamano kuishinikiza serikali ya rais William Ruto kulishughulikia swala la mfumuko wa bei linaonekana kuwa mzigo kwa raia wa Kenya. Unadhani hatua hii ya upinzani itasaidia kulishugulikia swala la mfumuko wa bei? Hapo kwenu serikali inafanya nini kutatua swala la mfumuko wa bei? Nchini Ken…
 
Hii leo jaridani tunanasalia hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa kusikiliza mahojiano yetu na viongozi waandamizi wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto huko Zanzibar Tanzania wanaoshiriki mkutano wa 67 wa hali ya wanawake duniani, CSW67 maudhui yakiwa matumizi ya dijitajitali katika zama za sasa za teknolojia kwa lengo la kusaid…
 
Mkutano wa 146 wa Umoja wa Mabunge Duniani ulioanza tarehe 11 mwezi huu wa Machi na kujumuisha Mabunge ya Nchi Wanachama, Waangalizi wa Kimataifa na Majukwaa mbalimbali ya Kibunge ili kuchagiza Amani na kujenga Jamii Jumuishi na Kuvumiliana umehitimishwa leo tarehe 15 Machi 2023. Katika Mkutano huu Mabunge yameeleza namna ambavyo yameweza kufikia u…
 
Hii leo jaridani tunakuletea tunaangazia vurugu nchini Syria ambapo ni miaka 12 kamili tangu machafuko yalipozuka; na ripoti ya ILO inayosihi nchi zote duniani ziboreshe mazingira ya kazi ya watendaji hao. Makala tutaelekea nchini Bahrain na mashinani nchini Geneva, kulikoni?. Leo ni miaka 12 kamili tangu machafuko yalipozuka Syria na kusababisha v…
 
Leo ni miaka 12 kamili tangu machafuko yalipozuka Syria na kusababisha vita inayoendelea tangu mwaka 2011 iliyosambaratisha nchi hiyo na mamilioni ya raia wake. Maelfu wamepoteza maisha, mamilioni wamekuwa wakimbizi ndani na nje ya nchi yao na majanga mengine ya kila uchao yanazidi kuwaondelea matumaini raia wa taifa hilo la Mashariki ya Kati. Adha…
 
Baada ya janga la COVID-19 kufichua ni kwa kiasi gani jamii ilikuwa haipatii wafanyakazi muhimu thamani wanayotakiwa ikiwemo malipo ya kutosha na mazingira bora ya kazi, hii leo shirika la Umoja wa Mataifa la kazi duniani, ILO limetoa ripoti inayosihi nchi zote duniani ziboreshe mazingira ya kazi ya watendaji hao. Ripoti hiyo ikipatiwa jina Mweleke…
 
Leo tunatupia jicho nafasi ya wanawake kwenye siasa za bara Afrika. Wiki hii siku ya Jumapili tarehe 19 rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, anatimiza miaka mitatu madarakani, baada ya kuapishwa kuongoza nchi hiyo kama rais wa sita, na kuwa rais wa kwanza mwanamke. Samia alichukua hatamu za uongozi baada ya kifo cha mtangulizi wake John Magufuli. …
 
With Ray on vacation, Jonathan reflects on the first few weeks of The Agenda and shares extended content that had been previously edited down for time. He also previews upcoming episodes, which will dive into Bitcoin in Africa, cybersecurity, lunarpunk, mutual aid and more. The Agenda is brought to you by Cointelegraph and hosted/produced by Ray Sa…
 
Loading …

Quick Reference Guide

Copyright 2023 | Sitemap | Privacy Policy | Terms of Service