Podcast namba moja Tanzania ambayo itakusaidia kuongeza thamani ya maisha yako kupitia mafunzo ya maendeleo binafsi, elimu ya fedha, elimu ya Mahusiano na elimu ya kujitambua Maisha Ni Kuthubutu Podcast ipo kukupa maarifa yatakayo kusaidia wewe kupiga hatua zaidi kwenye maisha yako Podcast zinafanywa na Innocent Ngaoh Instagram: @Lolo_Facts
Makala ambayo inakupa nafasi ya kujua masuala mbalimbali ya Muziki na Burudani. Ndani ya makala haya utapata taarifa za wanamuziki, historia zao na bila kusahau mahojiano na wanamuziki mbalimbali. Hii ni fursa ya pekee kwa wasikilizaji kujiliwaza baada ya kazi za juma zima kupitia burudani ya muziki. Makala ya muziki ijumaa pia itakuwezesha kufahamu wasanii kutoka sehemu mbalimbali duniani na kujua wanafanya nini.
Maelezo - Neno ni sehemu ya huduma ya kimataifa ya mafundisho ya biblia nzima ya Thru The Bible. Mfululizo wa mafundisho haya kwanza yaliandaliwa na Dkt. J. Vernon McGee na kutafsiriwa kwa lugha zaidi ya mia moja na kabila. mafundisho hayo yakusudiwa kuwa ya dakika 30 kwenye radio ambayo kwa mpangilio maalum humwezesha msikilizaji kujifunza Biblia nzima. Sasa ujumbe ndizo twakusilishia kwenye mtandao. Twashukuru kwamba umeanza kujifunza mengi zaidi katika Neno la Mungu kwa njia ya ujumbe hiz ...
Mada hii inazungumzia mambo ambayo yasiyo haribu swaumu pindi atakapo yafanya mfungaji.
Nyumba ya Sanaa ni Makala ya Utamaduni ambayo inatoa fursa kwa wasanii na wadau wa sanaa kuwasilisha maoni yao kwa ajili ya maendeleo ya kweli ya Afrika na dunia kwa ujumla, tukiwa na lengo la kudumisha na kuendeleza tamaduni nzuri katika mwingiliano wa tamaduni uliopo, tukizingatia maisha ya kisasa na utandawazi kwa ujumla.
Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
Mada hii inazungumzia mambo ambayo unapoyafanya unatoka katika uislam nayo niushirikina.
Ninakukaribisha katika kujifunza Biblia
H
Habari za UN


1
Rekodi ya wakimbizi milioni 100 ni rekodi ambayo haikupaswa kuwekwa kamwe-Grandi
2:58
2:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:58
Idadi ya watu waliolazimika kukimbia migogoro, ghasia, ukiukwaji wa haki za binadamu na mateso sasa imevuka hatua ya kushangaza ya watu milioni 100 kwa mara ya kwanza kwenye rekodi, iliyochochewa na vita vya Ukraine na migogoro mingine inayosababisha maafa limesema Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR…
H
Habari za UN


1
Wakazi wa Embu kwa msaada wa IFAD na serikali Kenya wamepanda miti na kulinda mazingira
2:58
2:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:58
Kenya ni moja ya nchi zilizoathirika sana na ukame uliosababishwa na mabadiliko ya tabianchi katika Pembe ya Afrika, lakini sasa baadhi ya wakulima wa nchi hiyo kwa msaada wa mfuko wa kimataifa kwa ajili ya maendeleo ya kilimo IFAD wameamua kuchukua hatua kulinda mazingira, maisha yao na kujenga mnepo kwa kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi…
Jaridani Jumatatu Mei 23, 2022 na Leah Mushi- -UNHCR: Mzozo wa Ukraine na mingineyo imepelekea watu milioni moja kukimbia makwao -Wakulima wa Embu Kenya wavalia njuga vita dhidi ya mabadiliko ya tabianchi kwa kupanda miti:IFAD -Katika makala ni mwanamke shuhuda kwamba ugonjwa wa Fistula una tiba. Mashinani ni ujumbe wa Rais wa Baraza Kuu la Umoja w…
H
Habari za UN


1
Ugonjwa wa fistula unatibika. Mimi ni shuhuda - Magreth Rubeni
9:03
9:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:03
Leo tarehe 23 Mei 2022 ni Siku ya Kutokomeza Ugonjwa wa Fistula kauli mbiu yam waka huu ikiwa ni “Tokomeza Fistula, wekeza, imarisha ubora wa huduma za afya na wezesha jamii”. Ugonjwa wa Fistula ya uzazi huwapata wanawake wakati wa kujifungua hasa wale wanaojifungua wakiwa na umri mdogo pamoja na kukosa msaada stahiki wakati wa kujifungua, ambapo v…
H
Habari za UN


1
Vita ya Urusi na Ukraine imevuruga uchumi wangu – Abeid Aboubakar wa Dodoma, Tanzania
4:13
4:13
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
4:13
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres hivi karibuni akizungumza na Baraza la Usalama alitaka hatua zichukuliwe kukomesha vita alipokuwa akizungumzia namna ambavyo ni vita ni chachu kubwa ya njaa duniani kote. Vita ya hivi karibuni ambayo imeongeza chumvi katika jeraha ni kutokana na uvamizi wa Urusi kwa Ukraine ambao pamoja na madhara me…
H
Habari za UN


1
Mradi wa UNICEF Ethiopia waleta nuru katika kukabiliana na athari za ukame
1:45
1:45
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:45
Mradi wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF wa kuweka paneli za sola kwa ufadhili wa mfuko wa dharura wa Umoja wa Mataifa CERF umeleta nuru kwa maelfu ya waathirika wa ukame katika eneo la Kori jimboni Afar nchini Ethiopia hasa tatizo la maji.By Leah Mushi/ Flora Nducha
Ikiwa leo ni Siku ya Nyuki Duniani na kaulimbiu ya mwaka huu ikisema, “Kama nyuki wanavyoshirikiana: Tusherehekee utofauti wa nyuki na ufugaji nyuki,” wafugaji wa nyuki nchini Yemen wanalishukuru Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO kwa kuwanyanyua tena baada ya kuwasaidia kurejea katika shughuli yao ya jadi ya ufugaji nyuki ambayo…
FAO yasaidia wananchi wa Yemen kurejea kwenye ufugaji nyuki wa asili. Mradi wa Sola wa UNICEF watatua changamoto za waathirika wa ukame Kori Ethiopia. Makala imeangazia mmoja wa wafanyabiashara wadogo katika makao makuu ya Tanzania, Dodoma ambaye ni miongoni mwa wanaolamba shubiri ya athari za vita kati ya Urusi na Ukraine ambavyo vimesababisha ath…
Jaridani Alhamisi, Mei 19, 2022 na Leah Mushi kuanza nia habari kwa ufupi, kisha mada kwa kina na kumaliza na neno la wiki. Watu milioni 59.1 walilazimika kukimbia makwao nchini mwao mwaka 2021 kwa mujibu wa ripoti yiliyotolewa leo kuhusu wakimbizi wa ndani GRID na kituo cha kimataifa cha kufuatilia uhamishwaji wa watu kilicho chini ya shirika la U…
H
Habari za UN


1
Mitandao ya kijamii inatusaidia lakini habari za uongo nazo ni changamoto - Kambini Lusenda, DRC
4:01
4:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
4:01
Takribani miaka miwili iliyopita, Umoja wa Mataifa ulizindua mkakati wake na ukapewa jina "iliyothibitishwa" au “Verified initiative” ambao unataka watu kote duniani kutafakari kabla ya kusambaza taarifa au maaudhi kwenye mitandao ya kijamii. Mitandao ya kijamii ni moja ya njia inayotumiwa na jamii sio tu kwa mawasiliano kwa wapendwa wao bali pia k…
H
Habari za UN


1
Mkutano wafanyika kati ya walinda amani na viongozi wa jamii katika harakati za kuimarisha usalama
3:17
3:17
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:17
Kuelekea siku ya kimataifa ya walinda amani wa Umoja wa Mataifa na katika kuendeleza jukumu la ulinzi wa amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, vikosi vya ulinzi wa amani kutoka Tanzania yaani TANZBATT 9 na kikosi cha utayari TANZANIA QRF2 vimefanya kikao cha Urafiki baina yao na uongozi wa raia wa nchi hiyo katika maeneo ya uwajibikaji wa …
H
Habari za UN


1
Hali inaendelea kuwa mbaya licha ya ahadi za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
2:52
2:52
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:52
Viashiria vinne vinavyotumika kupima hali ya hewa duniani vyote vimeonesha hali kuendelea kuwa mbaya duniani licha ya wadau kila uchao kujadiliana na kuahidi kuchukua hatua madhubuti za kulinda dunia kutoathiriwa na mabadiliko ya tabianchi ambayo kwa kiasi kikubwa yanachangiwa na shughuli za kibinadamu.…
Jaridani Jumatano Mei 18, 2022 na Leah Mushi -Joto laendelea kuongezeka duniani kwa mwaka wa 7 mfululizo: WMO -Mkutano wa kirafiki wakutanisha walinda amani kutoka Tanzania na baadhi ya viongozi viongozi mashariki mwa DRC -Katika makala tunaelekea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kuungana na Mwandishi wetu wa huko Byobe Malenga akiangaz…
M
Maisha Ni Kuthubutu


1
Mambo Manne (04) Ya Kufanya Unapo Pitia Hali Ya Kukataliwa Kwenye Maisha Yako.
10:05
10:05
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:05
Moja ya changamoto iliyokatisha ndoto za watu wengi, ni ile ya kukataliwa ama kupingwa.Watu wengi wamekutana na hali hii, kuna ambao wameweza kuishinda, pia kuna ambao imekuwa kikwazo kwao.Jambo moja muhimu la kufahamu ni kwamba kukataliwa ni suala la kawaida, hata uwe bora kwa namna gani sio kila mtu atakubaliana wewe.Watu watakukataa kwa sababu z…
Jaridani na Leah Mushi- HABARI KWA UFUPI Idadi ya watoto walioathirika na uzito mdogo wa kupindukia imekuwa ikiongezeka hata kabla ya viya ya Ukraine ambayo inatishia kuitumbukiza dunia kwenye mgogoro mkubwa wa chakula imeonya ripoti mpya kuhusu watoto iliyotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF. ======================…
H
Habari za UN


1
Unaelewa nini kuhusu “Usawa wa Kijinsia”? Baadhi ya vijana wanawake Tanzania wanaeleza
4:49
4:49
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
4:49
Umoja wa Mataifa unasema kuwa athari za kiuchumi na kijamii za janga la COVID-19 zimeathiri vibaya maendeleo ya hivi karibuni yaliyokuwa yamefikiwa katika usawa wa kijinsia. Unyanyasaji dhidi ya wanawake na wasichana umeongezeka, ndoa za utotoni zinatarajiwa kuongezeka baada ya kuwa zimepungua katika miaka iliyopita. Gonjwa hilo limeonesha hitaji l…
H
Habari za UN


1
Kazi kubwa inaendelea kuyaondoa kabisa mabomu ya kutegwa ardhini Sudan Kusini-UNMAS
2:58
2:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:58
Wakati hatua kubwa imepigwa katika kuondoa na kutegua mabomu yote ya kutegwa ardhini na mabaki mengine ya vifaa vya milipuko ya vita nchini Sudan Kusini, baadhi ya jamii za nchi hiyo bado ziko hatarini kutokana na uwepo wa mabomu hayo. Moja ya jamii hizo ni Gondokoro karibu na mji mkuu Juba, ambako kwa mujibu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya huduma …
H
Habari za UN


1
Mafunzo ya ILO na wadau umemwezesha mfanyabiashara mdogo kabisa Turkana maghariibi, Kenya
2:09
2:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:09
Shirika la Umoja wa Mataifa la kazi duniani, ILO limeendesha programu ya kutoa mafunzo ya stadi za kuendesha biashara kwa jamii zinazowahifadhi wakimbizi hususan wakazi wa Kakuma, kaunti ya Turkana nchini Kenya kwa kutambua changamoto za maendeleo zinazokabili jamii zinazohifadhi wakimbizi kufuatia ujio wa wakimbizi.…
Katika jarida la Jumatatu Mei 16, 2022 na Leah Mushi Mradi wa mafunzo wa ILO wawainua wafanyabiashara Turkana magharibi, Kenya UNMAS yaendelea kunusuru maisha ya watu Sudan Kusini kwa kutegua mabomu ya kutegwa ardhini Makala ni kutoka Dar es Salaam Tanzania ambako Philbert Alexander wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa ameingia katika mitaa ya …
H
Habari za UN


1
Chakula, elimu na maji ni mtihani mkubwa kwa waathirika wa ukame Turkana Kenya
5:37
5:37
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
5:37
Watu zaidi ya milioni 3 wameathirika vibaya na ukame nchini Kenya kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuratibu masuala ya kibinadamu na misaada ya dharura OCHA huku eneo lililoathirika zaidi ni kaunti ya Turkana. Maelfu ya watu wanahaha kupata mlo, Watoto imekuwa changamoto kwenda shule na maji ambayo ni uhai imekuwa bidhaa adimu kupatikan…
H
Habari za UN


1
UNICEF yaendeleza umasishaji wa chanjo ya COVID-19 nchini DRC
1:51
1:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:51
Tukisalia Afrika, Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF huko nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC linatumia wafanyakazi wa kijamii kuhamasisha wakazi wa vitongoji vya mji mkuu, Kinshasa kupata chanjo dhidi ya ugonjwa wa Corona, au COVID-19 kwa kuwa baadhi ya watu bado wanasuasua kupatiwa chanjo hiyo. Taarifa ya Assumpta Mas…
H
Habari za UN


1
Ukame na vita vya Ukraine vimewaacha hoi wakulima nchini Somalia
2:34
2:34
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:34
Tunaanzia Somalia ambako Mfuko wa kimataifa kwa ajili ya maendeleo ya kilimo IFAD umeonya kwamba ukame na vita vinavyoendelea nchini Ukraine vimesababisha athari kubwa kwa wakulima nchini HUMO, ambao sasa wanahitaji msaada wa haraka ili kunusuru kilimo na maisha yao kabla hali haijageuka kuwa janga kubwa la kibinadamu. Taarifa ya Anold Kayanda inaf…
Katika jarida hii leo utasikia wito wa kusaidia wakulima wa Somalia ili kuiokoa nchi isiingie katika janga kubwa la kibinadamu. Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF huko nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC linatumia wafanyakazi wa kijamii kuhamasisha wakazi wa vitongoji vya mji mkuu, Kinshasa kupata chanjo dhidi ya ugonjw…
Katika kujifunza Kiswahili , leo tunapata ufafanuzi wa neno "MTEREMEZI" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITABy Onni Sigalaa
Jaridani Alhamisi Mei 12, 2022 na Grace Kaneiya HABARI KWA UFUPI Mratibu mkuu wa Umoja wa Mataifa wa masauala ya kibinadamu na misaada ya dharura Martin Griffiths yuko ziarani nchi Kenya kwa lengo la kuitanabaisha jumuiya ya kimataifa janga la kibinadamu lililosababishwa na mabadiliko ya tabianchi katika Pembe ya Afrika, nchini Ethiopia, Somalia na…
H
Habari za UN


1
Mahitaji ya wakimbizi kambini Lusenda tunayatambua na tunayashughulikia
3:53
3:53
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:53
Wakimbizi katika kambi ya wakimbizi warundi ya Lusenda katika mkoa wa kivu ya Kusini mashariki mwa DRC, wametoa malalamiko yao mbele ya mkuu wa ofisi shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR katika ukanda wa kaskazini mashariki mwa DRC yenye makao yake mjini Goma. Jackie Keegan amepokea malalamiko hayo na kuahidi kuyafanyia kazi al…
H
Habari za UN


1
Programu ya UNICEF Uganda tumaini jipya kwa mabinti waliopata ujauzito
2:37
2:37
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:37
Tukiachana na masuala ya COVID-19 sasa tumulike vijana balehe ambapo shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF nchini Uganda linaendesha programu ya waelimishaji rika ambayo imesaidia watoto kadhaa wa kike akiwemo Sara kuacha kujiua baada ya kubakwa na kupewa ujauzito na hatimaye kurejea shuleni kusoma huku akilea mtoto wake na kuwa n…
H
Habari za UN


1
Bado Afrika inakabiliwa na changamoto za COVID-19
2:34
2:34
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:34
Bara la afrika limepiga hatua kubwa katika vita dhidi ya janga la COVID-19, idadi ya wagonjwa na vifo inapungua lakini bado kuna changamoto kubwa kuhusu janga hilo limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kufanikisha upatikanaji wa dawa na tiba kwa gharama nafuu UNITAID ambalo linajikita katika kutafuta suluhu za kibunifu za kuzuia, kutambua na kuti…
Katika jarida hii leo Shirika la Umoja wa Mataifa la kufanikisha upatikanaji wa dawa na tiba kwa gharama nafuu UNITAID limesema ingawa bara la afrika limepiga hatua kubwa katika vita dhidi ya janga la COVID-19, idadi ya wagonjwa na vifo inapungua lakini bado kuna changamoto kubwa kuhusu janga hilo. Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, U…
Hii leo jaridani siku ya Jumanne ni Mada kwa Kina na tunakupeleka Kenya kufuatilia majaribio ya chanjo dhidi ya Malaria na mwenyeji wetu huko ni Thelma Mwadzaya. Lakini kuna habari kwa ufupi tukimulika Syria, Ukoma na matumizi ya mtandao katika kuuza pombe kutoka nchi moja hadi nyingine. Mashinani tunakwenda Moldova, karibu na anayekusomea jarida l…
H
Habari za UN


1
UNHCR na WHO washirikiana na wananchi kufanikisha kituo cha afya, Darfur Kaskazini
4:25
4:25
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
4:25
Jamii katika eneo la Abu Gaw, Darfur Kaskazini, Sudan, imeanza kufaidika na kituo kipya cha afya katika Kijiji chao. Kituo ambacho kimejengwa kutokana na ushirikiano wa jamii, UNHCR na WHO baada ya kuwa kimeharibiwa tangu mwaka 2004 ambapo wananchi waliyakimbia makazi hayo. Happiness Palangyo wa Radio washirika Radio Uhai FM ya Tabora Tanzania anas…
H
Habari za UN


1
Nchini DRC, MONUSCO na COMOA washirikiana kuimarisha usalama mjini Goma.
2:38
2:38
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:38
Mradi huo una lengo la kuchangia katika kuimarisha mifumo ya usalama na kuimarisha eneo la Karuba kijamii na kiuchumi , halikadhalika kuwezesha wanufaka wanawake kwa wanaume pamoja na vijana wa kike na wa kiume kupata kipato. Wanufaika ni wanawake na wanaume na walifundishwa stadi Wanufaika wa moja kwa moja wa mradi huo ni 40 wakiwemo wanawake 12 w…
H
Habari za UN


1
Mfinyanzi Nduwimana: Merankabandi imenikomboa mimi na familia yangu
2:46
2:46
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:46
Kutana na mfinyanzi Nduwimana Cornalie kutoka nchini Burundi ambaye maisha yake yalikuwa duni, akishindwa kukidhi mahitaji ya msingi ya familia ikiwani pamoja na kuweka mlo mezani na hata kupeleka wanawe shule, lakini sasa asante kwa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF lililoanzisha mrandi wa Merankabandi wa kusaidia familia duni…
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani MONUSCO na shirika la kiraia liitwalo COMOA wameshirikiana kuimarisha usalama Goma, DRC. Mradi wa Merankabandi wa UNICEF Burundi na Benki ya Dunia wanufaisha wanajamii. Makala tutaelekea Sudan na upande wa mashinani kuangazia namna mradi wa kukabiliana na ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana na wanawake u…
M
Maisha Ni Kuthubutu


1
Kanuni Tatu (03) Za Kuzingatia Ili Uwe Msomaji Mzuri Wa Vitabu
8:24
8:24
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
8:24
Je unataka kufaidika na usomaji wa vitabu? Basi Sikiliza episode hii ujifunze mambo muhimu ambayo yatafanya uwe msomaji mzuri zaidi wa vitabu na kupata matokeo chanya kwenye kusoma vitabu.Hakikisha una subscribe Castbox na Apple Podcast na turn on notifications Ili uwe kwanza kusikiliza.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/maishanikuthubu…
Leo katika kujifunza Kiswahili, mchambuzi wetu Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kituo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia methali "KOSA MOJA HALIMWACHI MKE”By Leah Mushi/Josephat Gitonga
Katika Jarida la Ijumaa Mei 6, 2022 na Leah Mushi Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa, WHO limezindua ripoti ya kwanza kabisa ya kimataifa kuhusu njia ya vitendo, yenye msingi wa ushahidi wa kulinda wagonjwa na wahudumu wa afya wasidhuriwe na maambukizi yanayoweza kuepukika. Kuzuia na Kudhibiti Maambukizi. kupitia taarifa yake iliyotolewa hii leo j…
H
Habari za UN


1
Waandishi wa habari wakutana kwa ajili ya kujadilia kuimarisha usalama wao
3:39
3:39
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:39
Waandishi wa Habari kutoka nchi mbalimbali barani Afrika wamekutana jijini Arusha nchini Tanzania katika maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari kujadili maboresho ya mpango wa utekelezaji wa Umoja wa Mataifa kuhusu Usalama wa Waandishi wa Habari.By Leah Mushi